Wednesday, June 19, 2013

Viungo; Unga Na Vyakula Kwa Ajili Ya Tiba Vinakopatikana

Share it Please
  

Wasomaji wa Blog hii

Wengi wameniandikia wakitaka kujua viungo, majani, mizizi na vyakula vilivyotajwa vinapatikana wapi. Aidha wengi pia wanapata tabu kutafsiri maneno ya Kiingereza kwenda Kiswahili.

Napenda kuwaarifu kuwa vitu vingi vinapatikana:
1.  Uchumi Supermarket Quality Centre  - Nyerere Road
2. Sokoni Kariakoo
3. Sokoni Kisutu
4. Maduka ya Wahindi Kisutu
5. Pia mnaweza kuulizia Supermakets nyingine
  
Kama una tatizo Fulani na ungependa niweke bandiko lake, tafadhali nijulishe kupitia:

Skype: sanctus_mtsimbe

Facebook: Sanctus Mtsimbe

2 comments:

  1. Habari ya leo Doctor, Mimi ninatatizo la kutoka kama kijipu kwenye njia ya haja kubwa pembeni ni kigumu na kinauma wakati wa kutawadha.

    Je ni ugonjwa gani na tiba yake ni nini?.Mara ya kwanza nilidhani papasi wale wadudu wanaopenda kukaa kwa wanyama wanaokuwa wananyoja damu ya wanyama kama mbwa ng'ombe n.k. Nitashukuru kwa kunisaidia matibabu yake.

    ReplyDelete
  2. jibu lake sijaliona

    ReplyDelete

Followers

News And Updates

Sign up to receive news as well as receive other blog updates!

Enter your email address:

Follow The Author